iqna

IQNA

msafara wa nur
Hija
IQNA - Wanachama wa msafara wa Qur'ani wa Iran kwa ajili ya Hija mwaka huu wataondoka kuelekea Saudi Arabia Mei 15. Hayo yametangazwa wakati wa mkutano uliofanyika mjini Tehran siku ya Jumapili ili kuufahamisha msafara huo kuhusu misheni na shughuli zao wakati wa mahujaji wa Hija.
Habari ID: 3478749    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/29

Ibada ya Hija 1444
Kundi la maqari (wasomaji Qur'ani Tukufu) wa Iran huko Makka nchini Saudi Arabia katika vikao vinavyohudhuriwa na Mashia na Masunni ili kuendeleza zaidi umoja kati ya Waislamu.
Habari ID: 3477129    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/10

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija imeandaa mahafali za qiraa ya Qur’ani Tukufu katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3475513    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17